Bawasiri ni ugonjwa gani?

Bawasiri ni nini?

Bawasiri ni nini? Bawasiri ni ugonjwa gani? Bawasiri au Kikundu au Puru ni hali ya kuvimba kwa mishipa ya damu katika njia ya haja kubwa. Kwa Kiingereza hujulikana kama Hemorrhoid au Piles. Katika hatua yake ya kuonekana wazi ugonjwa hujitokeza kama uvimbe au vivimbe kadhaa kwenye maeneo ya tundu la haja kubwa. Karibu katika kila […]

Scroll to top