Usile vyakula hivi kama unaumwa Bawasiri
Usile vyakula vifuatavyo kama unaumwa Bawasiri Unapoumwa bawasiri unapaswa kuwa makini sana juu ya chakula unachokula na vinywaji unavyokunywa kila siku kwani vinao uwezo wa kurahisisha au kukwamisha matibabu kwako. Siri iliyopo katika kupunguza au kuitibu bawasiri ipo kwenye vyakula hasa vyakula ambavyo vinaweza kukusaidia usipate choo kigumu au usikose kabisa choo. Usikubali siku nzima […]